Wakolosai 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Epafra,+ ambaye ni kutoka kati yenu, mtumwa wa Kristo Yesu, anawatumia ninyi salamu zake, sikuzote akijikaza kwa ajili yenu katika sala zake, ili mwishowe msimame mkiwa kamili+ na kwa usadikisho imara katika mapenzi yote ya Mungu. Filemoni 23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Epafra+ mateka mwenzangu katika muungano na Kristo Yesu anakutumia salamu,
12 Epafra,+ ambaye ni kutoka kati yenu, mtumwa wa Kristo Yesu, anawatumia ninyi salamu zake, sikuzote akijikaza kwa ajili yenu katika sala zake, ili mwishowe msimame mkiwa kamili+ na kwa usadikisho imara katika mapenzi yote ya Mungu.