2 Timotheo 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Fikiria daima yale ninayosema; kwa kweli Bwana atakupa wewe utambuzi+ katika mambo yote. 1 Yohana 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekuja,+ naye ametupa sisi uwezo wa akili+ ili tupate kumjua yule wa kweli.+ Na sisi tumo katika muungano+ na yule wa kweli, kwa njia ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyo ndiye Mungu wa kweli+ na uzima wa milele.+
20 Lakini tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekuja,+ naye ametupa sisi uwezo wa akili+ ili tupate kumjua yule wa kweli.+ Na sisi tumo katika muungano+ na yule wa kweli, kwa njia ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyo ndiye Mungu wa kweli+ na uzima wa milele.+