9 Hiyo ndiyo sababu sisi pia, tangu siku tuliposikia juu ya jambo hilo, hatujaacha kusali kwa ajili yenu+ na kuomba kwamba mjazwe ujuzi sahihi+ wa mapenzi yake katika hekima+ yote na utambuzi wa kiroho,+
20 Lakini tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekuja,+ naye ametupa sisi uwezo wa akili+ ili tupate kumjua yule wa kweli.+ Na sisi tumo katika muungano+ na yule wa kweli, kwa njia ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyo ndiye Mungu wa kweli+ na uzima wa milele.+