Waefeso 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo mkimtolea shukrani+ sikuzote Mungu na Baba yetu kwa ajili ya mambo yote. 1 Wathesalonike 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kuhusiana na kila jambo toeni shukrani.+ Kwa maana hayo ndiyo mapenzi ya Mungu katika muungano na Kristo Yesu kwa habari yenu.
20 katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo mkimtolea shukrani+ sikuzote Mungu na Baba yetu kwa ajili ya mambo yote.
18 Kuhusiana na kila jambo toeni shukrani.+ Kwa maana hayo ndiyo mapenzi ya Mungu katika muungano na Kristo Yesu kwa habari yenu.