Waroma 12:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Msimlipe yeyote uovu kwa uovu.+ Fanyeni mambo mema machoni pa watu wote. 2 Wakorintho 8:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana sisi “tunafanya mpango wa unyoofu, si machoni pa Yehova tu, bali pia machoni pa wanadamu.”+
21 Kwa maana sisi “tunafanya mpango wa unyoofu, si machoni pa Yehova tu, bali pia machoni pa wanadamu.”+