20 Ee Timotheo, linda lililowekwa amana kwako,+ ukigeuka mbali kutoka kwenye maneno matupu ambayo huchafua mambo matakatifu na kutoka kwenye maneno yanayopingana ya ule unaoitwa kwa uwongo “ujuzi.”+
14 Endelea kuwakumbusha+ mambo haya, ukiwaagiza+ mbele za Mungu kama shahidi,+ wasipigane juu ya maneno,+ hilo ni jambo ambalo halifai hata kidogo kwa sababu huwaharibu wale wanaosikiliza.