2 Timotheo 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Hata hivyo, wewe endelea katika mambo uliyojifunza na uliyoshawishiwa kuamini,+ ukijua ni kutoka kwa watu gani ulijifunza hayo+ 2 Timotheo 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ingawa hivyo, wewe tunza akili zako+ katika mambo yote, vumilia uovu,+ fanya kazi ya mweneza-injili,+ timiza kwa ukamili huduma yako.+ Tito 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 akilishika imara neno la uaminifu kuhusiana na ufundi wake wa kufundisha,+ ili aweze kuhimiza kwa fundisho lenye afya+ na pia kuwakaripia+ wale ambao hulipinga.
14 Hata hivyo, wewe endelea katika mambo uliyojifunza na uliyoshawishiwa kuamini,+ ukijua ni kutoka kwa watu gani ulijifunza hayo+
5 Ingawa hivyo, wewe tunza akili zako+ katika mambo yote, vumilia uovu,+ fanya kazi ya mweneza-injili,+ timiza kwa ukamili huduma yako.+
9 akilishika imara neno la uaminifu kuhusiana na ufundi wake wa kufundisha,+ ili aweze kuhimiza kwa fundisho lenye afya+ na pia kuwakaripia+ wale ambao hulipinga.