Mathayo 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa matunda yao mtawatambua.+ Je, watu hukusanya zabibu kutoka kwenye miiba au tini kutoka kwenye michongoma?+ 2 Timotheo 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda pesa, wenye kujidai, wenye majivuno, wakufuru, wasiotii wazazi,+ wasio na shukrani, wasio washikamanifu,+
16 Kwa matunda yao mtawatambua.+ Je, watu hukusanya zabibu kutoka kwenye miiba au tini kutoka kwenye michongoma?+
2 Kwa maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda pesa, wenye kujidai, wenye majivuno, wakufuru, wasiotii wazazi,+ wasio na shukrani, wasio washikamanifu,+