Methali 20:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa matendo yake, mvulana hujitambulisha kama utendaji wake ni safi na mnyoofu.+ Waroma 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sasa nawahimiza ninyi, akina ndugu, waangalieni wale wanaosababisha migawanyiko+ na kusababisha kukwazika kinyume cha fundisho+ ambalo mmejifunza, nanyi mjiepushe nao.+ Wagalatia 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Sasa matendo ya mwili ni wazi,+ nayo ni uasherati,+ uchafu, mwenendo mpotovu,+
17 Sasa nawahimiza ninyi, akina ndugu, waangalieni wale wanaosababisha migawanyiko+ na kusababisha kukwazika kinyume cha fundisho+ ambalo mmejifunza, nanyi mjiepushe nao.+