2 Zaidi ya hayo, wale walio na mabwana+ wenye kuamini wasiwadharau,+ kwa sababu wao ni ndugu.+ Kinyume chake, na wawe watumwa kwa utayari zaidi, kwa sababu wale wanaopokea faida ya utumishi wao mwema ni waamini na wapendwa.
Endelea kufundisha mambo haya+ na kutoa mahimizo haya.