-
1 Timotheo 6:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Pia, acheni wale walio na mabwana ambao ni waamini wasiwavunjie heshima kwa sababu wao ni ndugu zao. Badala yake, wanapaswa kuwatumikia kwa bidii zaidi, kwa sababu wale wanaonufaika na utumishi wao mzuri ni waamini wenzao wapendwa.
Endelea kuwafundisha na kuwahimiza wafanye mambo haya.
-
-
1 Timotheo 6:2Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
2 Zaidi ya hayo, wale walio na wamiliki wenye kuamini wasiwadharau, kwa sababu wao ni ndugu. Kinyume chake, waache wawe watumwa kwa utayari zaidi, kwa sababu wale wanaopokea manufaa ya utumishi wao mwema ni waamini na wapendwa.
Fuliza kufundisha mambo haya na kutoa mahimizo haya yenye bidii.
-