-
1 Timotheo 6:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Pia, acheni wale walio na mabwana ambao ni waamini wasiwavunjie heshima kwa sababu wao ni ndugu zao. Badala yake, wanapaswa kuwatumikia kwa bidii zaidi, kwa sababu wale wanaonufaika na utumishi wao mzuri ni waamini wenzao wapendwa.
Endelea kuwafundisha na kuwahimiza wafanye mambo haya.
-