Waefeso 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 siachi kutoa shukrani kwa ajili yenu. Naendelea kuwataja ninyi katika sala zangu,+ 1 Wathesalonike 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sikuzote sisi humshukuru Mungu tunapowataja ninyi nyote katika sala zetu,+