3 Mungu akaibariki siku ya saba na kuifanya takatifu, kwa kuwa katika siku hiyo amekuwa akipumzika kutokana na kazi yake yote ya kuumba ambayo Mungu alikusudia kuifanya.+
11 Kwa maana katika siku sita Yehova alizifanya mbingu na dunia, bahari na kila kilichomo,+ naye akaanza kupumzika siku ya saba.+ Ndiyo sababu Yehova aliibariki siku ya sabato na kuifanya kuwa takatifu.+