Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mungu akaibariki siku ya saba na kuifanya takatifu, kwa kuwa katika siku hiyo amekuwa akipumzika kutokana na kazi yake yote ya kuumba ambayo Mungu alikusudia kuifanya.+

  • Kutoka 20:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana katika siku sita Yehova alizifanya mbingu na dunia, bahari na kila kilichomo,+ naye akaanza kupumzika siku ya saba.+ Ndiyo sababu Yehova aliibariki siku ya sabato na kuifanya kuwa takatifu.+

  • Waebrania 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa hiyo niliapa kwa hasira yangu, ‘Hawataingia+ katika pumziko langu.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki