Waebrania 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa kuwa yeye mwenyewe ameteseka alipokuwa akijaribiwa,+ anaweza kuwasaidia wale wanaojaribiwa.+ Waebrania 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana tuna kuhani mkuu, si mtu ambaye hawezi kuusikitikia+ udhaifu wetu, bali yeye ambaye amejaribiwa katika mambo yote kama sisi wenyewe, lakini bila kuwa na dhambi.+
15 Kwa maana tuna kuhani mkuu, si mtu ambaye hawezi kuusikitikia+ udhaifu wetu, bali yeye ambaye amejaribiwa katika mambo yote kama sisi wenyewe, lakini bila kuwa na dhambi.+