22 Nami nitakutokea hapo na kusema nawe toka juu ya kifuniko+ hicho, toka katikati ya wale makerubi wawili walio juu ya sanduku la ushuhuda, naam, yote nitakayokuamuru wewe kwa ajili ya wana wa Israeli.+
89 Sasa wakati wowote ambapo Musa aliingia ndani ya hema la mkutano ili kusema naye,+ ndipo aliposikia sauti ikizungumza naye toka juu ya kifuniko+ kilichokuwa juu ya sanduku la ushuhuda, kutoka katikati ya wale makerubi+ wawili; naye akasema naye.