1 Wakorintho 15:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Hupandwa ukiwa mwili wa nyama,+ hufufuliwa ukiwa mwili wa roho.+ Ikiwa kuna mwili wa nyama, kuna wa roho pia. 1 Petro 1:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana mmezaliwa upya,+ si kupitia mbegu yenye kuharibika,+ bali kupitia ile isiyoharibika+ yenye kuzaa,+ kupitia neno la Mungu+ aliye hai na anayedumu.+
44 Hupandwa ukiwa mwili wa nyama,+ hufufuliwa ukiwa mwili wa roho.+ Ikiwa kuna mwili wa nyama, kuna wa roho pia.
23 Kwa maana mmezaliwa upya,+ si kupitia mbegu yenye kuharibika,+ bali kupitia ile isiyoharibika+ yenye kuzaa,+ kupitia neno la Mungu+ aliye hai na anayedumu.+