Waroma 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hata hivyo, si wote waliotii habari njema.+ Kwa maana Isaya anasema: “Yehova, ni nani aliyeliamini jambo ambalo limesikiwa kutoka kwetu?”+
16 Hata hivyo, si wote waliotii habari njema.+ Kwa maana Isaya anasema: “Yehova, ni nani aliyeliamini jambo ambalo limesikiwa kutoka kwetu?”+