Danieli 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi wanaume hao wakasema: “Hatutapata kisingizio chochote juu ya Danieli huyu, isipokuwa tukitafute juu yake katika sheria ya Mungu wake.”+ Waroma 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana wale wanaotawala ni kitu cha kuogopesha, si kwa kitendo chema, bali kwa kibaya.+ Basi, je, unataka usiogope hiyo mamlaka? Endelea kufanya mema,+ nayo itakusifu wewe;
5 Basi wanaume hao wakasema: “Hatutapata kisingizio chochote juu ya Danieli huyu, isipokuwa tukitafute juu yake katika sheria ya Mungu wake.”+
3 Kwa maana wale wanaotawala ni kitu cha kuogopesha, si kwa kitendo chema, bali kwa kibaya.+ Basi, je, unataka usiogope hiyo mamlaka? Endelea kufanya mema,+ nayo itakusifu wewe;