14 Kwa maana upendo alio nao Kristo hutulazimisha, kwa sababu hili ndilo tumehukumu, kwamba mtu mmoja alikufa kwa ajili ya wote;+ kwa hiyo, basi, wote walikuwa wamekufa;
5 Kwa hiyo, viueni+ viungo vya mwili+ wenu vilivyo duniani kwa habari ya uasherati, uchafu, hamu ya ngono,+ tamaa yenye madhara, na kutamani,+ ambako ni ibada ya sanamu.