20 Mimi nimetundikwa mtini pamoja na Kristo.+ Si mimi tena niliye hai,+ bali Kristo ndiye anayeishi katika muungano na mimi.+ Kwa kweli, uhai ninaoishi sasa+ katika mwili naishi kwa imani ambayo ni kumwelekea Mwana wa Mungu, aliyenipenda mimi na kujitoa mwenyewe kwa ajili yangu.+