Mambo ya Walawi 6:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “‘Chochote ambacho huenda kikagusa nyama yake kitakuwa kitakatifu,+ na mtu yeyote akitapanya damu yake juu ya vazi,+ utakioshea katika mahali patakatifu kile ambacho ametapanya damu juu yake.+ Waebrania 12:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 na Yesu mpatanishi+ wa agano jipya,+ na damu ya kunyunyiza,+ ambayo husema kwa njia bora zaidi kuliko ile damu ya Abeli.+
27 “‘Chochote ambacho huenda kikagusa nyama yake kitakuwa kitakatifu,+ na mtu yeyote akitapanya damu yake juu ya vazi,+ utakioshea katika mahali patakatifu kile ambacho ametapanya damu juu yake.+
24 na Yesu mpatanishi+ wa agano jipya,+ na damu ya kunyunyiza,+ ambayo husema kwa njia bora zaidi kuliko ile damu ya Abeli.+