1 Yohana 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kila mtu anayekaa katika muungano+ na yeye hana mazoea ya kufanya dhambi;+ mtu yeyote aliye na mazoea ya kufanya dhambi hajamwona wala kumjua.+ 1 Yohana 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kila mtu ambaye amezaliwa kutokana na Mungu haendelei kufanya dhambi,+ kwa sababu mbegu Yake yenye kuzaa hukaa ndani ya mtu huyo, naye hawezi kuwa na mazoea ya kufanya dhambi, kwa sababu amezaliwa kutokana na Mungu.+ 1 Yohana 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na sisi wenyewe tumejua na tumeamini upendo+ ambao Mungu anao kwa habari yetu. Mungu ni upendo,+ na yeye ambaye hukaa katika upendo+ hukaa katika muungano na Mungu na Mungu hukaa katika muungano+ na yeye.
6 Kila mtu anayekaa katika muungano+ na yeye hana mazoea ya kufanya dhambi;+ mtu yeyote aliye na mazoea ya kufanya dhambi hajamwona wala kumjua.+
9 Kila mtu ambaye amezaliwa kutokana na Mungu haendelei kufanya dhambi,+ kwa sababu mbegu Yake yenye kuzaa hukaa ndani ya mtu huyo, naye hawezi kuwa na mazoea ya kufanya dhambi, kwa sababu amezaliwa kutokana na Mungu.+
16 Na sisi wenyewe tumejua na tumeamini upendo+ ambao Mungu anao kwa habari yetu. Mungu ni upendo,+ na yeye ambaye hukaa katika upendo+ hukaa katika muungano na Mungu na Mungu hukaa katika muungano+ na yeye.