Yohana 8:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 nanyi mtaijua kweli,+ nayo kweli itawaweka ninyi huru.”+ 1 Yohana 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Watoto wadogo, acheni tupendane,+ si kwa neno wala kwa ulimi,+ bali kwa tendo+ na kweli.+