Matendo 20:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 kwa sababu waliumizwa hasa na neno alilosema kwamba hawangemwona uso+ wake tena. Basi wakaanza kumsindikiza+ mpaka kwenye mashua. Tito 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ili wasikose kitu chochote kwa ajili ya safari yao, kwa uangalifu mpe mahitaji Zena, aliye na ujuzi mwingi wa Sheria, na Apolo.+
38 kwa sababu waliumizwa hasa na neno alilosema kwamba hawangemwona uso+ wake tena. Basi wakaanza kumsindikiza+ mpaka kwenye mashua.
13 Ili wasikose kitu chochote kwa ajili ya safari yao, kwa uangalifu mpe mahitaji Zena, aliye na ujuzi mwingi wa Sheria, na Apolo.+