12 Ikiwa watu wengine hushiriki mamlaka hii juu yenu,+ je, si hivyo hata zaidi kwetu? Hata hivyo, sisi hatujatumia mamlaka hii,+ bali tunavumilia mambo yote, ili tusiweke kizuizi chochote kwa habari njema+ juu ya Kristo.
15 Lakini mimi sijatumia hata mmoja wa mipango hiyo.+ Kwa kweli, sijaandika mambo haya ili iwe hivyo kuhusiana na mimi, kwa maana ingekuwa vizuri zaidi kwangu nife kuliko—hakuna mtu atakayefanya sababu yangu ya kujisifu+ iwe bure!