2 Timotheo 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini watu waovu na wajanja wataendelea kutoka ubaya mpaka ubaya zaidi, wakipotosha na kupotoshwa.+ Yuda 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini watu hawa wanatukana mambo yote ambayo kwa kweli hawayajui;+ lakini mambo yote ambayo wanayaelewa kiasili kama vile wanyama wasiofikiri,+ wanaendelea kujiharibu+ katika mambo hayo.
13 Lakini watu waovu na wajanja wataendelea kutoka ubaya mpaka ubaya zaidi, wakipotosha na kupotoshwa.+
10 Lakini watu hawa wanatukana mambo yote ambayo kwa kweli hawayajui;+ lakini mambo yote ambayo wanayaelewa kiasili kama vile wanyama wasiofikiri,+ wanaendelea kujiharibu+ katika mambo hayo.