Mathayo 25:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Bwana wake akamwambia, ‘Vema, mtumwa mwema na mwaminifu!+ Ulikuwa mwaminifu+ juu ya mambo machache. Nitakuweka juu ya mambo mengi.+ Ingia katika shangwe+ ya bwana wako.’
21 Bwana wake akamwambia, ‘Vema, mtumwa mwema na mwaminifu!+ Ulikuwa mwaminifu+ juu ya mambo machache. Nitakuweka juu ya mambo mengi.+ Ingia katika shangwe+ ya bwana wako.’