Waefeso 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo, simameni imara, viuno vyenu+ vikiwa vimefungwa kwa ile kweli,+ na mkiwa mmevaa bamba la kifuani la uadilifu,+ 1 Wathesalonike 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini kwa habari yetu sisi tulio wa mchana, na tutunze akili zetu na kuvaa bamba la kifuani+ la imani+ na upendo na lile tumaini la wokovu+ kama kofia ya chuma;+ 2 Timotheo 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ukiwa askari-jeshi+ mwema wa Kristo Yesu shiriki sehemu yako katika kuvumilia uovu.+
14 Kwa hiyo, simameni imara, viuno vyenu+ vikiwa vimefungwa kwa ile kweli,+ na mkiwa mmevaa bamba la kifuani la uadilifu,+
8 Lakini kwa habari yetu sisi tulio wa mchana, na tutunze akili zetu na kuvaa bamba la kifuani+ la imani+ na upendo na lile tumaini la wokovu+ kama kofia ya chuma;+