Yeremia 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo Yehova, Mungu wa majeshi, amesema hivi: “Kwa sababu ninyi mnasema jambo hilo, tazama, nayafanya maneno yangu kinywani mwenu kuwa moto,+ na watu hawa watakuwa kuni, nao hakika utawateketeza.”+
14 Kwa hiyo Yehova, Mungu wa majeshi, amesema hivi: “Kwa sababu ninyi mnasema jambo hilo, tazama, nayafanya maneno yangu kinywani mwenu kuwa moto,+ na watu hawa watakuwa kuni, nao hakika utawateketeza.”+