Yeremia 23:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Je, neno langu halilingani na moto,”+ asema Yehova, “na kama nyundo ya chuma ambayo huvunja mwamba?”+ Hosea 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ndiyo sababu nitawakatakata kwa kutumia manabii;+ nitawaua kwa maneno ya kinywa changu.+ Na hukumu juu yako zitakuwa kama nuru inayotokea.+ Ufunuo 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na yeyote akitaka kuwadhuru, moto hutoka katika vinywa vyao na kuwateketeza adui zao;+ na yeyote akitaka kuwadhuru, lazima atauawa kwa njia hiyo.
29 “Je, neno langu halilingani na moto,”+ asema Yehova, “na kama nyundo ya chuma ambayo huvunja mwamba?”+
5 Ndiyo sababu nitawakatakata kwa kutumia manabii;+ nitawaua kwa maneno ya kinywa changu.+ Na hukumu juu yako zitakuwa kama nuru inayotokea.+
5 Na yeyote akitaka kuwadhuru, moto hutoka katika vinywa vyao na kuwateketeza adui zao;+ na yeyote akitaka kuwadhuru, lazima atauawa kwa njia hiyo.