12 Mwishowe maandishi+ yakaja kwake kutoka kwa Eliya+ nabii, na kusema: “Yehova Mungu wa Daudi babu yako, amesema hivi, ‘Kwa sababu hukutembea katika njia za Yehoshafati+ baba yako wala katika njia za Asa+ mfalme wa Yuda,
9 Nimelifanya paji la uso wako kuwa kama almasi, gumu kuliko jiwe gumu.+ Usiwaogope,+ wala usiingiwe na hofu kwa sababu ya nyuso zao,+ kwa maana wao ni nyumba yenye kuasi.”+