Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 21:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mwishowe maandishi+ yakaja kwake kutoka kwa Eliya+ nabii, na kusema: “Yehova Mungu wa Daudi babu yako, amesema hivi, ‘Kwa sababu hukutembea katika njia za Yehoshafati+ baba yako wala katika njia za Asa+ mfalme wa Yuda,

  • Isaya 58:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 58 “Ita kwa sauti kamili kutoka kooni; usizuie.+ Paaza sauti yako kama baragumu, uwaambie watu wangu maasi+ yao, na nyumba ya Yakobo dhambi zao.

  • Yeremia 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Tazama, nimekupa utume leo ili uwe juu ya mataifa na juu ya falme,+ ili kung’oa na kubomoa na kuangamiza na kuangusha,+ ili kujenga na kupanda.”+

  • Ezekieli 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nimelifanya paji la uso wako kuwa kama almasi, gumu kuliko jiwe gumu.+ Usiwaogope,+ wala usiingiwe na hofu kwa sababu ya nyuso zao,+ kwa maana wao ni nyumba yenye kuasi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki