14 Naye huwapotosha wale wanaokaa duniani, kwa sababu ya ishara alizopewa ruhusa kufanya machoni pa yule mnyama-mwitu, huku akiwaambia wale wanaokaa duniani wafanye sanamu+ ya yule mnyama-mwitu aliyekuwa na pigo+ la upanga na bado akarudi kwenye uzima.