10 Na baadhi ya watu, watu wa hali ya chini ambao hawakuwa na chochote hata kidogo, Nebuzaradani mkuu wa walinzi akawaacha wabaki katika nchi ya Yuda;+ naye akawapa mashamba ya mizabibu na utumishi wa lazima katika siku hiyo.+
16 Na wengine kati ya watu wa hali ya chini wa nchi Nebuzaradani yule mkuu wa walinzi akawaacha wabaki kuwa watunza-mizabibu na kuwa wafanyakazi wa kulazimishwa.+