Mathayo 25:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Na hawa watakatiliwa mbali milele,+ lakini waadilifu wataingia katika uzima wa milele.”+ 2 Wathesalonike 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Watu hao watahukumiwa adhabu+ ya uharibifu wa milele+ kutoka mbele ya Bwana na kutoka kwenye utukufu wa nguvu zake,+ Ufunuo 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na mara moja, kwa mara ya pili wakasema:+ “Msifuni Yah! Na moshi kutoka kwake unaendelea kupanda milele na milele.”+
9 Watu hao watahukumiwa adhabu+ ya uharibifu wa milele+ kutoka mbele ya Bwana na kutoka kwenye utukufu wa nguvu zake,+
3 Na mara moja, kwa mara ya pili wakasema:+ “Msifuni Yah! Na moshi kutoka kwake unaendelea kupanda milele na milele.”+