20 Kwa habari ya siri takatifu ya zile nyota saba+ ulizoona juu ya mkono wangu wa kuume, na ya vile vinara saba vya taa vya dhahabu:+ Zile nyota saba zinamaanisha wale malaika wa yale makutaniko saba, na vile vinara saba vya taa vinamaanisha makutaniko saba.+