Ufunuo 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na wa kwanza akaipiga tarumbeta yake. Na kukatukia mvua ya mawe na moto+ uliochangamana na damu, nao ukatupwa duniani; na sehemu ya tatu ya dunia ikateketezwa,+ na sehemu ya tatu ya miti ikateketezwa, na mimea yote mibichi+ ikateketezwa.
7 Na wa kwanza akaipiga tarumbeta yake. Na kukatukia mvua ya mawe na moto+ uliochangamana na damu, nao ukatupwa duniani; na sehemu ya tatu ya dunia ikateketezwa,+ na sehemu ya tatu ya miti ikateketezwa, na mimea yote mibichi+ ikateketezwa.