Kumbukumbu la Torati 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana Yehova Mungu wako ni moto unaoteketeza,+ Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili.+ Zaburi 97:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Moto hutoka mbele zake,+Nao huteketeza adui zake wanaomzunguka pande zote.+ Waebrania 12:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa maana Mungu wetu pia ni moto unaoteketeza.+