24 Basi mvua ya mawe ikanyesha, nao moto ukiwaka-waka katikati ya mvua ya mawe. Ilikuwa nzito sana, hivi kwamba haikuwa imetokea yoyote kama hiyo katika nchi yote ya Misri tangu ilipokuwa taifa.+
19 Na patakatifu pa hekalu la Mungu palipo mbinguni+ pakafunguliwa, na sanduku+ la agano lake likaonekana katika patakatifu pa hekalu lake.+ Na kukatokea umeme na sauti na ngurumo na tetemeko la nchi na mvua kubwa ya mawe.