11 Na msiba utakuja juu yako; hutajua uchawi wowote wa kufanya juu yake. Na shida itaanguka juu yako;+ hutaweza kuiepuka. Na uharibifu utakuja juu yako kwa ghafula,+ ambao kwa kawaida huujui.
55 kwa maana Yehova anampora Babiloni, na hakika yeye ataangamiza kutoka ndani yake ile sauti kubwa,+ na mawimbi yao yatakuwa na machafuko kama maji mengi.+ Kelele za sauti yao hakika zitapigwa.