Isaya 24:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Furaha ya matari imekoma, kelele za waliosisimuka sana zimekoma, furaha ya kinubi imekoma.+ Ezekieli 26:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “‘Nami nitafanya kelele za kuimba kwako zikome,+ na sauti ya vinubi vyako haitasikiwa tena.+