Mwanzo 39:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi bwana wa Yosefu akamchukua Yosefu na kumtupa gerezani, mahali ambapo wafungwa wa mfalme walifungwa, akabaki humo gerezani.+ Zaburi 105:17, 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Alimtuma mtu awatangulieAmbaye aliuzwa kuwa mtumwa, Yosefu.+ 18 Waliifunga* miguu yake kwa pingu,+Shingo yake ilitiwa katika vyuma;*
20 Basi bwana wa Yosefu akamchukua Yosefu na kumtupa gerezani, mahali ambapo wafungwa wa mfalme walifungwa, akabaki humo gerezani.+
17 Alimtuma mtu awatangulieAmbaye aliuzwa kuwa mtumwa, Yosefu.+ 18 Waliifunga* miguu yake kwa pingu,+Shingo yake ilitiwa katika vyuma;*