4 Basi Yosefu akawaambia ndugu zake: “Tafadhali, nikaribieni.” Basi wakamkaribia.
Kisha akawaambia: “Mimi ni Yosefu ndugu yenu, mliyemuuza Misri.+ 5 Lakini sasa msikasirike wala kulaumiana kwa kuniuza huku; kwa sababu Mungu alinituma huku niwatangulie ili kuokoa uhai.+