Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 37:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Basi wafanyabiashara hao Wamidiani+ walipokuwa wakipita, ndugu zake walimtoa shimoni na kumuuza kwa hao Waishmaeli kwa vipande 20 vya fedha.+ Watu hao wakampeleka Yosefu Misri.

  • Mwanzo 37:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Basi Wamidiani wakamuuza Yosefu Misri kwa Potifa, ofisa wa makao ya Farao+ aliyekuwa pia mkuu wa walinzi.+

  • Mwanzo 45:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi Yosefu akawaambia ndugu zake: “Tafadhali, nikaribieni.” Basi wakamkaribia.

      Kisha akawaambia: “Mimi ni Yosefu ndugu yenu, mliyemuuza Misri.+ 5 Lakini sasa msikasirike wala kulaumiana kwa kuniuza huku; kwa sababu Mungu alinituma huku niwatangulie ili kuokoa uhai.+

  • Mwanzo 50:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ingawa mlikusudia kunidhuru,+ Mungu alikusudia hali hiyo ibadilike na kuwa njema na kuokoa maisha ya watu wengi, kama anavyofanya leo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki