Mwanzo 40:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa hiyo Farao akawakasirikia vikali maofisa hao wawili, msimamizi mkuu wa vinywaji na mwokaji mkuu,+ 3 akawatupa katika gereza lililokuwa katika nyumba ya mkuu wa walinzi,+ mahali ambapo Yosefu alikuwa amefungwa.+
2 Kwa hiyo Farao akawakasirikia vikali maofisa hao wawili, msimamizi mkuu wa vinywaji na mwokaji mkuu,+ 3 akawatupa katika gereza lililokuwa katika nyumba ya mkuu wa walinzi,+ mahali ambapo Yosefu alikuwa amefungwa.+