Mwanzo 43:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mungu Mweza-Yote na amchochee mtu huyo awahurumie, ili awaruhusu mrudi na yule ndugu yenu mwingine na Benjamini. Lakini ikiwa ni lazima nifiwe, basi nitafiwa!”+
14 Mungu Mweza-Yote na amchochee mtu huyo awahurumie, ili awaruhusu mrudi na yule ndugu yenu mwingine na Benjamini. Lakini ikiwa ni lazima nifiwe, basi nitafiwa!”+