Mwanzo 42:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Yakobo baba yao akashtuka na kusema: “Mmefanya nifiwe!+ Yosefu hayupo,+ Simeoni naye hayupo,+ na sasa mnataka kumchukua Benjamini! Mambo hayo yote yamenijia mimi!”
36 Yakobo baba yao akashtuka na kusema: “Mmefanya nifiwe!+ Yosefu hayupo,+ Simeoni naye hayupo,+ na sasa mnataka kumchukua Benjamini! Mambo hayo yote yamenijia mimi!”