28 Basi wafanyabiashara hao Wamidiani+ walipokuwa wakipita, ndugu zake walimtoa shimoni na kumuuza kwa hao Waishmaeli kwa vipande 20 vya fedha.+ Watu hao wakampeleka Yosefu Misri.
35 Na wanawe wote na mabinti zake wote wakajaribu sana kumfariji, lakini alikataa kabisa kufarijiwa, akisema: “Nitashuka Kaburini*+ nikimwombolezea mwanangu!” Na baba yake akaendelea kumlilia.