Mwanzo 37:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Yakobo akaendelea kuishi katika nchi ya Kanaani, alikoishi baba yake akiwa mgeni.+ Matendo 7:11, 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini kukawa na njaa kali katika nchi yote ya Misri na Kanaani, ndiyo, dhiki kuu, na mababu zetu hawakuweza kupata chakula chochote.+ 12 Lakini Yakobo akasikia kwamba kulikuwa na chakula* huko Misri, naye akawatuma mababu zetu mara ya kwanza.+
11 Lakini kukawa na njaa kali katika nchi yote ya Misri na Kanaani, ndiyo, dhiki kuu, na mababu zetu hawakuweza kupata chakula chochote.+ 12 Lakini Yakobo akasikia kwamba kulikuwa na chakula* huko Misri, naye akawatuma mababu zetu mara ya kwanza.+