Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 23:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kisha Abrahamu akainuka na kutoka mahali ambapo maiti ya mke wake ilikuwepo, akawaambia wana wa Hethi:+ 4 “Mimi ni mgeni na mhamiaji miongoni mwenu.+ Nipeni ardhi ya kuzikia miongoni mwenu ili niweze kuwazika watu wangu waliokufa.”

  • Mwanzo 28:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Basi Isaka akamwita Yakobo, akambariki na kumwamuru hivi: “Usioe mke kutoka kwa mabinti wa Kanaani.+

  • Mwanzo 28:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye atakupa wewe na uzao wako* baraka ambayo alimwahidi Abrahamu,+ ili uimiliki nchi ambamo umekuwa ukiishi kama mgeni, nchi ambayo Mungu alimpa Abrahamu.”+

  • Waebrania 11:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa imani, Abrahamu+ alipoitwa alitii kwa kutoka na kwenda mahali ambapo angepokea kuwa urithi; aliondoka, ingawa hakujua mahali alipokuwa akienda.+ 9 Kwa imani aliishi akiwa mgeni katika nchi ya ahadi kama katika nchi ya kigeni,+ akiishi kwenye mahema+ pamoja na Isaka na Yakobo, warithi pamoja naye wa ahadi ileile.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki