Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 24:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kisha akasema: “Mimi ni mtumishi wa Abrahamu.+

  • Mwanzo 24:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Kwa hiyo bwana wangu aliniapisha hivi: ‘Usimchukulie mwanangu mke kutoka kwa mabinti wa Wakanaani ambao ninaishi katika nchi yao.+

  • Kutoka 34:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Muwe waangalifu msifanye agano na wakaaji wa nchi, kwa maana wanapofanya ukahaba na miungu yao na kuitolea dhabihu,+ mmoja wao atawaalika nanyi mtakula dhabihu yake.+ 16 Kisha kwa hakika mtawachukua baadhi ya mabinti wao ili waolewe na wana wenu,+ na mabinti wao watafanya ukahaba na miungu yao na kusababisha wana wenu wafanye ukahaba na miungu yao.+

  • 1 Wafalme 11:1-3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini mbali na binti ya Farao,+ Mfalme Sulemani aliwapenda wanawake wengi wa kigeni:+ wanawake Wamoabu,+ Waamoni,+ Waedomu, Wasidoni,+ na Wahiti.+ 2 Walitoka katika mataifa ambayo Yehova alikuwa amewaambia hivi Waisraeli kuyahusu: “Hampaswi kuingia miongoni mwao,* nao hawapaswi kuingia miongoni mwenu; kwa maana kwa hakika wataigeuza mioyo yenu ifuate miungu yao.”+ Lakini Sulemani alishikamana nao na kuwapenda. 3 Naye alikuwa na wake 700 waliokuwa mabinti wa wafalme na masuria 300, na hatua kwa hatua wake zake wakaugeuza moyo wake.*

  • 2 Wakorintho 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Msifungwe nira* isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki